Skip to main content
Skip to main content

NTSA yaanzisha huduma za matibabu ya macho kwa madereva katika kupunguza ajali za barabara

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 1:36
    Kufuatia ongezeko la vifo kutokana na ajali za barabarani huku takwimu zikionyesha kuwa katika mwaka wa 2025 kufikia sasa zaidi ya vifo 3500 vimeripotowa, halmashauri ya Uchukuzi na Usalama Barabarani(NTSA) imeanzisha huduma ya matibabu ya macho kwa madereva wa magari ya umma ili kuhakikisha afya ya macho hali itakayochangia uangalifu barabarani