Skip to main content
Skip to main content

Nyumba 93,878 kuunganishwa kwa umeme eneo la Mlima Kenya

  • | KBC Video
    246 views
    Duration: 1:29
    Shirika la uunganishaji umeme mashinani na kawi endelevu limezindua mradi wa uwekaji umeme kwa takriban nyumba 93,878 katika eneo la Mlima Kenya. Akiongea wakati wa uzinduzi wa mradi huo katika eneobunge la Githunguri, katibu katika idara ya kawi, Alex Wachira, alisema mbali na kuweka umeme kwenye nyumba za makazi, mradi huo pia utajumuisha uwekaji wa taa za barabarani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive