- 2,123 viewsMgogoro ndani ya chama cha ODM unazidi kutokota huku kinara wake Dkt. Oburu Oginga sasa akimuonya katibu edwin sifuna akome kuwapotosha wafuasi wa chama hicho. Oburu amemtaka sifuna kuheshimu uamuzi wa chama na kumtaja sifuna kama mnafiki