Skip to main content
Skip to main content

Omar al-Bayoumi: Alikuwa na uhusiano gani na washambuliaji wa 9/11?

  • | BBC Swahili
    1,881 views
    Duration: 3:01
    Ingawa Omar al-Bayoumi amekuwa akikanusha madai ya kuwa ni jasusi wa Saudi Arabia, uchunguzi wa BBC umeibua ushahidi mpya unaozua mashaka kuhusu uhusiano wake na baadhi ya wahusika wa al-Qaeda pamoja na maafisa wa Saudi. Uchunguzi huo pia unauliza kama FBI ilifanya uchunguzi wa kutosha kuhusu baadhi ya ushahidi uliokuwepo kabla na baada ya mashambulizi ya tarehe 11 Septemba. #bbcswahili #september11 #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw