21 Jul 2026 1:28 pm | Citizen TV 2,805 views Duration: 58s Maafisa wa polisi mjini Kisii wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambapo vijana wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa kaunti ya kudumisha usafi mjini Kisii walimwaga rundo la taka nje ya duka moja kuu mjini humo.