Skip to main content
Skip to main content

Polisi mjini Nakuru wafuatiliwa baada ya kudhalilisha mama na mwanawe

  • | Citizen TV
    10,655 views
    Duration: 3:11
    Maafisa wa polisi kaunti ya Nakuru wako kwenye darubini kufuatia madai kuwa walimkamata na kumhangaisha mwanamke moja na kumdhalilisha mamake kutokana na maneno aliyeandika kwenye mtandao w akijamii. Kwa mujibu wa May Jerono, polisi walimteka nyara na kumsafirisha hadi kitale kisha kumzuia na kumwachilia