21 Jul 2026 1:10 pm | Citizen TV 4,565 views Duration: 2:26 Maafisa wa Usalama jijini Nakuru, wamemnasa mshukiwa wa uhalifu akiwa na bastola na risasi 29, nyumbani kwake Olvine, Kiamunyi, eneo bunge la Rongai. Kadhalika walinasa lita 900 za Kemikali ya aina ya ethanol.