- 1,060 viewsDuration: 1:24Idara ya usalama kaunti ya Taita Taveta yatakiwa kuwachukulia hatua wale wote ambao wapanga kuzua fujo kwenye mkutano wa viongozi wa Linda Mwananchi utakaofanyika mwishoni mwa juma hili huko Mwatate, wundanyi na Voi. Akizungumza huko Mwatate mbunge wa Wundanyi, Dan Mwashako, aisuta serikali akidai yapanga njama ya kuvuruga mkutano huo.