Skip to main content
Skip to main content

Polisi watangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam #tanzania kufuatia #maandamano tarehe 29 Oktoba

  • | BBC Swahili
    6,321 views
    Duration: 43s
    ’Jeshi la polisi kufuatia hali hiyo linawatangazia wakaazi wote wa jiji la Dar es Salaam kuwa kuanzia leo tarehe 29 Oktoba mwaka 2025 kuanzia saa kumi na mbili jioni wawe majumbani mwao,’’ - Camillus Wambura Inspekta Jenerali wa Polisi amesema hayo kufuatia matukio ya ghasia yaliyoshuhudiwa katika maeneo kadhaa mjini Dar Es Salam Tanzania. - - - #tanzania #maandamano #polisi #bbcswahili #foryouSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw