Raia wa Palestina waelezea hali ngumu ya maisha huku Israel ikiendelea na mashambulizi
Raia wa Palestina waliokimbia makazi yao na kuishi kwenye hema eneo la Khan Younis Gaza wameelezea hali ngumu ya maisha huku Israel ikiendelea kushambulia maeneo yanayotawaliwa na Hamas kwa mashambulizi ya anga.
Watu wanaishi ndani ya kambi hiyo walisema walikaa kwenye mahema ambayo yamejaa maji mvua inapowanyeshea huku wakisubiri kwa muda mrefu kutumia vyoo na wanapata chakula na maji kidogo.
"Natamani Mungu atuonee huruma na vita visimame," Rami Al-Erqan, ambaye anaishi kwenye hema na mke wake na watoto sita, alisema. "Tulifikia hali ambayo tulitamani tungekufa chini ya vifusi ili tupumzike. Maisha yetu ni ya dhiki,” aliongeza.
Wanajeshi wa Israel siku ya Jumamosi (Oktoba 28) walitoa wito kwa Wapalestina kuondoka kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kabla ya operesheni inayokaribia ya Israel.
Israel inadai kuwa Hamas imeweka silaha na vikosi vyake miongoni mwa raia, na imekuwa ikiwaambia wakaazi wa Gaza kuhamia kusini kwa usalama wao.
Zaidi ya watu milioni 1.4 wa Gaza wamekimbia makazi yao na kukaa kwenye makazi ya muda kufuatia mashambulizi makubwa sana ya mabomu yaliyowahi kufanywa na Israel.
#israel #palestine #gaza #reels #igreels #videography #voa# #hamas #idf
17 May 2024
- Kenyans were advised against undertaking outdoor activities for safety reasons.
17 May 2024
- Insurers have called on the National Assembly to reject the proposal
17 May 2024
- Further, every Kenyan shall have a Unique Personal Identification (UPI) number which will be used during one's lifetime.
18 May 2024
- The EU on Friday told Microsoft to hand over internal documents or face fines as it examines generative AI risks on the company's search engine Bing ahead of elections.
18 May 2024
- South Africa ended rescue efforts at the site of a deadly building collapse Friday, having revised down the number of people that were at the premises when the accident happened.
18 May 2024
- Senate on Thursday failed to pass the Gambling Control Bill 2023 with amendments, forcing voting on the Bill to be postponed for the second time this week.
18 May 2024
- The term 'Limuru Three' has been bandied about a lot in the last few weeks but just what is its historical significance and what of Limuru one and two?
18 May 2024
- Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
18 May 2024
- Stillbirth: The pain of mothers leaving maternity without their babies
18 May 2024
- Traders warn high levies will be a burden to hustlers
18 May 2024
- Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
18 May 2024
- Agnes Kalekye Nguna has been appointed the new Kenya Broadcasting Corporation (KBC) Managing Director and CEO for a three-year period.
18 May 2024
- Spare us wild goose chase in weak impeachment motions