Skip to main content
Skip to main content

Raila alikuwa kiongozi mweledi wa mazungumzo. Alijua lini kupigana, kusimama au kujadiliana –Fwamba

  • | TV 47
    128 views
    Duration: 4:03
    "Raila Odinga alikuwa mtu mwenye maono ya mbele na alitambua kwamba hatimaye kungekuwepo na serikali jumuishi ya broad-based. Alikuwa mweledi katika mazungumzo ya kisiasa; alijua ni lini apigane, ni lini asimame, na ni wakati gani afanye mazungumzo. Ndio maana maisha yake ya kisiasa yamekuwa yenye utajiri mkubwa wa uzoefu na mafanikio, japokuwa hakuwahi kufikia urais." - Fwamba NC Fwamba #TV47Matukio Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.' *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __ Connect with us: Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __