Skip to main content
Skip to main content

Ulinzi mkali: China, Urusi zatoa kauli huku Maduro na mke wake wakishtakiwa New York

  • | BBC Swahili
    46,080 views
    Duration: 11:06
    Rais aliyeondolewa madarakani Venezula Nicolás Maduro na mke wake Cilia Flores wamefikishwa mahakamani jijini New York chini ya ulinzi mkali. Hatua hii inatokea siku mbili baada ya kukamatwa na wanajeshi wa Marekani. Wanakabiliwa na mashtaka ya ulanguzi wa dawa za kulevya na ugaidi New York. Katika Dira ya Dunia TV na Peter Mwangangi. #venezuela #maduro #bbcswahili #bbcswahilileo #trump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw