- 1,990 views
Rais William Ruto amewaagiza waajiri ambao hawajatekeleza nyongeza ya asilimia sita ya mishahara iliyotangazwa mwaka uliopita kufanya hivyo mara moja. Kwenye maadhimisho ya siku ya leba dei katika bustani ya Uhuru Gardens jijini Nairobi, Rais Ruto amesema haikubaliki kwa waajiri kutotekeleza nyongeza hiyo. Wawakilishi wa waajiri - fke- hawakupewa nafasi ya kuzungumza na wafanyikazi kwenye maadhimisho hayo ambapo rais ruto alitumia fursa hiyo kuratibu mafanikio ya serikali na kunadi mswada wa fedha wa mwaka wa 2025.
Rais aagiza waajiri kutekeleza nyongeza ya 6% ya mishahara
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist