Skip to main content
Skip to main content

Rais ahimiza Wakenya kusahau ya uchaguzi na kuzingatia maendeleo

  • | KBC Video
    176 views
    Duration: 2:24
    Rais William Ruto amewahimiza wakenya kutoruhusu siasa kuligawanya taifa hili, akisema kuwa uchaguzi ni wa muda tu, lakini umoja wa kitaifa unapaswa kudumu. Akizungumza katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mkutano na viongozi wa mashinani kutoka Kaunti ya Bungoma wakiongozwa na Didmus Barasa, Rais alisema kuwa uchaguzi haupaswi kamwe kuchukuliwa kuwa suala la kufa na kupona, akiwahimiza viongozi kukataa siasa za kikabila na badala yake watilia maanani kuboresha maisha ya wananchi kupitia maendeleo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive