Skip to main content
Skip to main content

Rais amekosoa matamshi kuhusu shule za kitaifa

  • | Citizen TV
    3,547 views
    Duration: 1:40
    Rais William Ruto amewaonya viongozi wanaoingiza ukabila kuhusu nafasi ya shule za kitaifa akisema ni taasisi za wakenya wote. Rais akisema kuwa shule za kitaifa ziko huru kwa wanafunzi wote wa kenya na sio watu wa maeneo kuliko shule hizo. Rais alikuwa akizungumza wakati wa kutolewa kwa pesa za mradi wa hazina ya nyota ambako vijana 9,800 walipokea mtaji wa elfu 25.