- 103 views
Rais william Ruto leo amekutana na wawekezaji katika sekta ya kibinafsi kujadili mbinu mwafaka za kufanya biashara katika sekta hiyo. Mkutano huo umefanyika wakati ambapo serikali ikijifua kuwa uchumi umeimarika lakini wakati huo huo wafanyibiashara wakilalama kuwa mazingira ya kufanya biashara nchini ni magumu. Rais Ruto ametumia fursa hiyo kutetea hustler fund akisema imefaidi wakenya wengi licha ya habari kuwa serikali imepoteza zaidi ya shilingi bilioni 10 kutokana na watu kutolipa mikopo hiyo
Rais Ruto apuuza habari kuwa hustler fund haina manufaa
- - Duniani Leo ››
- 7 Aug 2025 - US President Donald Trump on Wednesday ordered an additional 25 percent tariff on Indian goods over New Delhi's continued purchase of Russian oil, a key revenue source for Moscow's war in Ukraine.
- 7 Aug 2025 - Ruto's selfish interests to blame for diplomatic mess, say critics
- 7 Aug 2025 - Nakuru's old estates that share a name but with contrasting lives
- 7 Aug 2025 - PHOTOS: Disability is not inability, PWLDs light up music festivals
- 7 Aug 2025 - How global decor trends are transforming Kenyan homes
- 7 Aug 2025 - Alternative sources of funds that keep fight against HIVAids going
- 7 Aug 2025 - IEBC to release mini poll calendar in one week
- 7 Aug 2025 - War against terror at risk as US rethinks Kenya ties, experts say
- 7 Aug 2025 - Brave Soweto vow to soldier on despite missing key players
- 7 Aug 2025 - Ogamba faulted over facilitation of learners at music jamboree