Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto asema anashirikiana na viongozi mashinani kuakisi mahitaji ya wakenya

  • | Citizen TV
    352 views
    Duration: 1:34
    Rais William Ruto anasema anaendelea kuimarisha serikali jumuishi kwa kushauriana na viongozi wa mashinani na waliochaguliwa, ili maamuzi yaakisi mahitaji halisi ya wananchi. Akizungumza katika ikulu ndogo huko Kisii, aliahidi kuharakisha miradi ya maendeleo Kisii na Nyamira kama sehemu ya safari ya Kenya kuelekea katika kiwango cha juu cha uchumi.