Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto azindua mpango mahsusi wa mageuzi ya kiuchumi

  • | KBC Video
    274 views
    Duration: 5:11
    Rais William Ruto amezindua mpango kabambe wa mageuzi ya kiuchumi, na kutoa fursa kwa kile anachokiita awamu inayofuata ya maendeleo nchini inayolenga kuimarisha hali ya chakula nchini, nguvu za kiviwanda na miundombinu ya kisasa. Akizungumza wakati wa sherehe za mwaka huu za Siku kuu ya Mashujaa katika uwanja wa Ithookwe Kaunti ya Kitui, kiongozi wa taifa alisema serikali yake itavuka migawanyiko ya kisiasa ili kuleta mabadiliko muhimu nchini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive