Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto na Gachagua wavutana kuhusu ubabe Mlimani

  • | Citizen TV
    16,176 views
    Duration: 3:32
    Ubabe kati ya Rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua ulishamiri leo katika ibada ya wafu ya aliyekuwa Mbunge wa Olkalau David Kiharao katika kaunti ya Nyandarua. Wawili hao wakionekana kujibizana kuhusu nani ana ushawishi zaidi Mlima Kenya huku Gachagua akiwasuta wandani wa rais Ruto kwa kumlenga yeye na Rais mstaafu Uhuru Kenyatta