- 7,281 views
Mashindano ya kimataifa ya mbio za magari ya Safari Rally yaling'oa nanga rasmi baada ya rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria hafla hiyo leo mchana katika ukumbi wa KICC. Huu ni mwaka wa pili ambapo Kenya inaandaa mashindano hayo baada ya kujumuishwa katika msururu wa kimataifa mwaka jana na shirikisho la dunia la mbio za magari. Madereva zaidi ya thelathini wa kimataifa wako nchini kushiriki mashindano hayo ambayo yanaanza leo na kukamilika Jumapili ijayo katika eneo la Naivasha. Madereva hao watashiriki kitengo cha kwanza katika eneo la uwanja wa Kasarani kuanzia saa nane mchana. Dereva kutoka Finland Kalle Rovanpera ndiye anayeongoza jedwali baada ya kutwaa ushindi katika mashindano ya Sweden, Croatia na Ureno.
Rais Uhuru Kenyatta azindua mashindano ya Safari Rally
- - LIVE: TV47 News Now ››
- - Duniani Leo ››
- 29 Mar 2024 - Happiness levels in Kenya have dropped for the first time in five years.
- 29 Mar 2024 - There are plans to foster collaboration among State agencies, local authorities and community leaders.
- 29 Mar 2024 - Their mother, Lusila Wairu Waweru, died in October, 2015.
- 29 Mar 2024 - Failure to conform to the directive risks a Ksh10 million fine, a ten-year jail term or both.
- 29 Mar 2024 - Sometimes he is forced to wait for hours to meet the senior parliamentary official he visits.
- 29 Mar 2024 - The ordinary PCR tests for Covid-19 cannot differentiate between variants.
- 29 Mar 2024 - Exercise should have a multi-pronged approach with involvement of NTSA and other stakeholders like Kenya Red Cross.
- 29 Mar 2024 - Some day schools makes over Sh 2 million per term
- 29 Mar 2024 - Auditor General says Sh1.6 billion spent on supporting learners is in doubt
- 29 Mar 2024 - Thika chief magistrate Stella Atambo to rule on bond next month