- 7,281 views
Mashindano ya kimataifa ya mbio za magari ya Safari Rally yaling'oa nanga rasmi baada ya rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria hafla hiyo leo mchana katika ukumbi wa KICC. Huu ni mwaka wa pili ambapo Kenya inaandaa mashindano hayo baada ya kujumuishwa katika msururu wa kimataifa mwaka jana na shirikisho la dunia la mbio za magari. Madereva zaidi ya thelathini wa kimataifa wako nchini kushiriki mashindano hayo ambayo yanaanza leo na kukamilika Jumapili ijayo katika eneo la Naivasha. Madereva hao watashiriki kitengo cha kwanza katika eneo la uwanja wa Kasarani kuanzia saa nane mchana. Dereva kutoka Finland Kalle Rovanpera ndiye anayeongoza jedwali baada ya kutwaa ushindi katika mashindano ya Sweden, Croatia na Ureno.
Rais Uhuru Kenyatta azindua mashindano ya Safari Rally
- 13 Jul 2025 - Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
- 13 Jul 2025 - An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
- 13 Jul 2025 - Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
- 13 Jul 2025 - The announcement comes after multiple complaints were raised.
- 13 Jul 2025 - They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
- 13 Jul 2025 - "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
- 13 Jul 2025 - He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
- 13 Jul 2025 - Two of them have already been charged in court.
- 13 Jul 2025 - President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
- 13 Jul 2025 - Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.