- 7,281 views
Mashindano ya kimataifa ya mbio za magari ya Safari Rally yaling'oa nanga rasmi baada ya rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria hafla hiyo leo mchana katika ukumbi wa KICC. Huu ni mwaka wa pili ambapo Kenya inaandaa mashindano hayo baada ya kujumuishwa katika msururu wa kimataifa mwaka jana na shirikisho la dunia la mbio za magari. Madereva zaidi ya thelathini wa kimataifa wako nchini kushiriki mashindano hayo ambayo yanaanza leo na kukamilika Jumapili ijayo katika eneo la Naivasha. Madereva hao watashiriki kitengo cha kwanza katika eneo la uwanja wa Kasarani kuanzia saa nane mchana. Dereva kutoka Finland Kalle Rovanpera ndiye anayeongoza jedwali baada ya kutwaa ushindi katika mashindano ya Sweden, Croatia na Ureno.
Rais Uhuru Kenyatta azindua mashindano ya Safari Rally
- 31 May 2025 - Turkish police have seized a cache of counterfeit foreign currencies worth around $115 million (Ksh.14.8 billion) in Istanbul and arrested five foreign nationals suspected of planning to circulate the fake banknotes, the interior minister said Friday.
- 31 May 2025 - The death toll in central Nigeria flash floods has risen to at least 88 after rescuers recovered more bodies, an emergency services official said on Friday.
- 31 May 2025 - Kikuyu gospel artist Ngaruiya Junior has come out strongly against former Deputy President Rigathi Gachagua, accusing him of manipulation, political deceit, and promoting divisive tribal politics. The celebrated Kigooco singer, known for his energetic…
- 31 May 2025 - Controller of Budget (CoB) Margaret Nyakang'o has sounded a warning over wastage in government, especially on loan commitment fees and foreign and domestic travel.
- 31 May 2025 - President William Ruto has announced a Ksh1.5 billion investment in Kenya’s blue economy sector, reaffirming his administration’s commitment to transforming the lives of communities living around lakes and coastal regions. Speaking at the closing…
- 31 May 2025 - Dhogoye Bridge: The perpetual campaign pledge in Siaya politics
- 31 May 2025 - Raila calls for review of Lake Victoria boundary
- 31 May 2025 - Prof Ngugi wa Thiongo, Kenya and Africas towering man of letters who has died at the age of 87, evolved from a mythical figure of my youth to become a close mentor whose friendship.
- 31 May 2025 - Opposition leaders are asking President William Ruto to clarify the mistakes he made that led to his apology to Kenyan youth.
- 30 May 2025 - The government has deployed a special team of security officers to deal with gangs terrorizing residents of Embu town.