- 26 viewsRais wa Senegal Macky Sall ametangaza mswaada wa msamaha wa jumla "kwa vitendo vinavyohusiana na maandamano ya kisiasa" yaliyofanyika kati ya mwaka 2021 na 2024. Akizungumza wakati nchi inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kisiasa, uliochochewa na kuahirishwa uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 25 Februari, Sall anasema mswaada wa msamaha unatokana "na azma ya maridhiano ya kitaifa." #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Rais wa Senegal atangaza uchaguzi kufanyika kabla ya msimu wa mvua kuanza mwaka huu
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| NEWS NOW ››
- 27 Apr 2024 - Speaking at a roundtable meeting with CRA commissioners at Nairobi’s Movenpick hotel, the governors insisted on a formula that speaks to the region’s prowess for production, insisting the three earlier formulas have greatly been designed to take away…
- 27 Apr 2024 - Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
- 27 Apr 2024 - Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
- 27 Apr 2024 - Cumulatively, 24,000 households and 131,179 people have been affected by the flooding menace.
- 27 Apr 2024 - NEMA has mandated the use of 100 per cent biodegradable bin bags for organic waste collection starting July 8, 2024.
- 27 Apr 2024 - Donald Trump's lawyer sought on Friday to undermine the credibility of a former tabloid publisher who testified at the former president's criminal trial about his paper's efforts to bury news that could have damaged Trump's 2016 White House bid.
- 27 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The Kenya Airports Authority (KAA) has defended itself following leakages at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), attributing the issue to […]
- 27 Apr 2024 - This power plant is enormous; it will be able to supply 30,000 megawatts of power. A megawatt is a giant unit, containing somewhere between 4,000 and 5,000 units. To put that in perspective, an average Indian household uses only a few units, like 5 or 6…
- 27 Apr 2024 - Many South Africans are feeling disillusioned and frustrated with the ANC.
- 27 Apr 2024 - The Anti-Counterfeit Authority (ACA) is in the process of implementing varied methods to fight trade in illicit goods