Skip to main content
Skip to main content

Ripoti ya EACC yaonyesha wakenya wengi hawana imani na mapambano dhidi ya ufisadi

  • | Citizen TV
    643 views
    Duration: 3:20
    Zaidi ya asilimia 98 ya wakenya waliotoa mlungula mwaka wa 2025 hawakuripoti visa hivyo. Hayo ni kulingana na ripoti mpya ya ufisadi iliyotolewa na Tume ya Kupambana na Ufisadi Nchini EACC ambayo imedhihirisha kuwa asilimia 73 ya wakenya hawana imani na jinsi serikali inapambana na ufisadi. Ripoti hiyo aidha imedokeza kuwa wanawake wako kwenye hatari zaidi ya kutoa rushwa na kunyanyaswa kingono licha ya kuwa wengi wao hawaripoti visa hivyo.