Skip to main content
Skip to main content

Ripoti ya IMLU yaonyesha 2025 kuwa mwaka mbaya zaidi kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini Kenya

  • | Citizen TV
    659 views
    Duration: 2:54
    Mwaka huu wa 2025 umetajwa kuwa mbaya zaidi katika ukiukaji wa haki za kibinaadam. Ripoti ya shirika la IMLU ikiripoti kuwa Kenya imeorodheshwa kuwa moja ya mataifa yaliyoshuhudia ukiukaji mkubwa wa haki haswa kutoka kwa maafisa wa usalama. Watu takriban mia moja wakiuawa kiholela.