Skip to main content
Skip to main content

Robert Kibet Kibor ateuliwa kuwa msajili wa tume ya JSC

  • | KBC Video
    292 views
    Duration: 55s
    Tume ya huduma za mahakama JSC imetangaza uteuzi wa Robert Kibet Kibor kuwa msajili wa tume ya huduma za mahakama. Kupitia taarifa iliyotolewa hivi leo, tume ya huduma za mahakama ilisema Kibor atatoa uongozi wa kimkakati na kufuatilia usimamizi wa tume hiyo wa majukumu ya kiufundi na majukumu mengine ya pamoja, na kusaidia tume hiyo katika utekelezaji wa wajibu wake wa kikatiba. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive