- 2,637 viewsDuration: 3:04William Ruto amevunja kimya chake kufuatia kushindwa kwa chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Akizungumza Ikulu, Nairobi, Rais Ruto alisema macho yake sasa yanalenga uchaguzi mkuu ujao na akawataka wapinzani wake kujipanga ipasavyo huku akisisitiza kuwa mapambano ya kisiasa bado yanaendelea.