Skip to main content
Skip to main content

Sakaja akiri ushirikiano na serikali kuu hautahamisha majukumu ya kaunti ya Nairobi

  • | Citizen TV
    1,448 views
    Duration: 2:53
    Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amekana kwamba baadhi ya majukumu ya serikali ya kaunti ya Nairobi yamehamishwa hadi kwa serikali kuu. Akihutubia bunge la kaunti ya Nairobi, Sakaja amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya serikali ya kaunti ya Nairobi na serikali ya kitaifa hautasababisha uhamisho wa mamlaka na majukumu bali ni wa kuboresha huduma kwa wakazi wa Nairobi