Skip to main content
Skip to main content

Sammy Waweru Kamau ashinda kiti cha ubunge katika eneo Ol kalou kaunti ya Nyandarua

  • | Citizen TV
    5,512 views
    Duration: 4:04
    Sammy Waweru Kamau ndiye mbunge mteule wa Ol kalou kaunti ya Nyandarua. Kamau wa chama cha DCP ashinda kiti hicho kweye uchaguzi mdogo uliofanyika kwa kura 35,440 na kumbwaga mpinzani wake wa karibu wa chama UDA Samuel Muchina Nyagah.