Skip to main content
Skip to main content

Sammy Waweru Kamau ashinda kiti cha ubunge katika eneo Ol kalou kaunti ya Nyandarua

  • | Citizen TV
    772 views
    Duration: 3:13
    Sammy Kamau Ngotho wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP) ndiye Mbunge Mteule wa eneo bunge la Ol Kalou kaunti ya Nyandarua. Kamau atangazwa mshindi na tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC katika uchaguzi mdogo wa Alhamisi baada ya kupata kura 35,440, Kamau aahidi kutumikia wakaazi wa Ol Kalou na kuleta mwamko mpya kimaendeleo.