- 4,803 viewsDuration: 2:32Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ametimuliwa kama katibu mkuu wa chama hicho, kufuatia mkutano wa baraza kuu la chama uliofanyika mjini Mombasa. Mkutano huo ulioongozwa na kinara wa chama hicho Dkt. Oburu Oginga ukisema hatua hii imeafikiwa baada ya Sifuna kukaidi misimamo ya chama cha ODM kinyume na katiba ya chama hicho