Skip to main content
Skip to main content

Seneta Osotsi ajeruhiwa baada ya kushambuliwa Kisumu

  • | Citizen TV
    5,451 views
    Duration: 2:13
    Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi anauguzwa majeraha baada ya kuvamiwa katika mkahawa mmoja mjini Kisumu. Kanda za CCTV zimeonyesha namna Seneta Osotsi alivyotandikwa mikononi mwa waliomshambulia na kisha kuondoka muda mfupi baadaye. Osotsi alilazimika kuhamishwa kutoka hospitali alikopelekwa Kisumu hadi hapa Nairobi.