Skip to main content
Skip to main content

Seneta wa Kakamega Boni Khalwale amepokonywa walinzi

  • | Citizen TV
    12,277 views
    Duration: 45s
    Habari tunazozipokea katika chumba chetu cha habari sasa nikuwa Seneta wa Kakamega Boni Khalwale naye pia amepokonywa walinzi. Hatua hii imechukuliwa saa chache baada ya walinzi wa Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya kuondolewa. Tutakupasha mengi kwenye taarifa zetu za baadaye