Serikali imetangaza kuwa nguvu za kimbunga Hidaya zimekwisha

  • | TV 47
    27 views

    Serikali imetangaza kuwa nguvu za kimbunga Hidaya zimekwisha kwenye pwani ya Kenya. Idara ya utabiri wa hali ya anga imesema hayo mapema leo. Hayo yakiarifiwa, mvua nyingi inatarajiwa kuendelea kunyesha katika kaunti 37.

    #TV47Wikendi

    __

    Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'

    *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __

    Connect with us:

    Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __