- 516 viewsDuration: 2:25Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imesema inafufua upya sekta ya korosho ambayo ilikuwa imestawi sana miaka ya 70 kufuatia kuporomoka kwa uzalishaji wa zao hilo kutoka zaidi ya tani 30,000 kwa mwaka hadi chini ya tani 10,000.