Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Kajiado yafadhili makundi ya kilimo na wafugaji

  • | Citizen TV
    289 views
    Duration: 1:53
    Makundi mbalimbali ya wakulima, wafugaji na wafanyabiashara katika Kaunti ya Kajiado yapokea jumla ya shilingi milioni arobaini na saba kupitia ushirikiano kati ya Serikali ya Kaunti ya Kajiado na mradi wa ukuzaji wa kilimo nchini.