- 112 views
Serikali ya kaunti ya Kilifi imezindua korti ya kushughulikia wanaovunja sheria za kaunti. Korti hiyo iliyoko katika jengo la mahakama ya Kilifi inatazamiwa kutatua kesi kwa haraka kinyume na hapo awali.Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa korti hiyo, Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amesema kuwa itaongozwa na hakimu huku ikianza shughuli zake mara moja.
Aidha mung'aro amedokeza kuwa serikali yake itatenga shilingi milioni 50 za ujenzi wa korti eneo la Mtwapa ambapo itakua ikiendesha kesi kupitia mtandao.
Serikali ya kaunti ya Kilif yazindua korti za sheria za kaunti
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - New Eco Levy threatens Kenya's green future and jobs, say experts
- 19 May 2024 - Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks