Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Kwale yaunga mkono kesi ya ardhi Mteza Mbuguni

  • | Citizen TV
    235 views
    Duration: 1:53
    Serikali ya Kaunti ya Kwale imejitosa rasmi katika mapambano ya kisheria ya wakazi wa Mteza Mbuguni, Kaunti ndogo ya Matuga, wanaopinga utoaji wa zaidi ya hatimiliki elfu nne za ardhi wanazodai zilitolewa kinyume cha sheria.