29 Apr 2026 1:11 pm | Citizen TV 345 views Duration: 1:55 Serikali ya kaunti ya Nyamira imezindua rasmi usambazaji wa dawa za shilingi milioni 100, kupitia mamlaka ya usambazaji dawa nchini KEMSA kwenda hospitali na vituo 116 vya afya katika kaunti hiyo.