- 242 viewsDuration: 1:39Serikali ya kaunti ya Samburu yazindua rasmi chakula cha watoto wa shule za chekechea kama njia moja ya kuimarisha elimu eneo hilo.Akizungumza wakati wa uzinduzi huo,waziri wa elimu kaunti ya Samburu Mark Egelan abaini kuwa serikali hiyo yalenga kupunguza utapiamlo,shule zote za chekechea zikitarijia kunufaika na mpango huo.