Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Kenya yamkana Chivayo wa Zimbabwe

  • | BBC Swahili
    25,394 views
    Duration: 1:56
    Serikali ya Kenya imekanusha vikali madai kwamba mfanyabiashara mwenye utata wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo, amepewa zabuni au kuhusika katika mradi wa upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA). #bbcswahili #kenya #wicknellchivayo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw