Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Tanzania yamzuia mheshimiwa John Wegesa kusafiri kuhudhuria mazishi ya Odinga

  • | Citizen TV
    14,436 views
    Duration: 1:09
    Serikali ya Tanzania imemzuia makamu mwenyekiti wa chama cha Chadema, mheshimiwa John Wegesa Heche kusafiri nchini Kenya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga.