- 4 views
Hayo yakijiri, serikali imeendelea kutetea makato ya nyumba za bei nafuu. Kupitia katibu mkuu wa makazi Charles Hinga, serikali imesema makato hayo sio ushuru ila ni akiba itakayowezesha serikali kuwajengea wananchi nyumba za bei nafuu. Hata hivyo, hinga ameelezea kuwa hata baada ya kurejeshewa fedha hizo baada ya miaka saba, ada hiyo bado itaendelea kutozwa. Muajiriwa atarejeshewa asilimia 3 aliyokatwa katika mshahara kila mwezi ila mchango wa muajiri utarudishiwa mfanyikazi baada ya miaka 14. Rais William Ruto amewarai wabunge wa muungano wake wa Kenya Kwanza kupitisha mswada huo tarehe 15 mwezi ujao.
Serikali yaendelea kutetea makato ya nyumba za bei nafuu
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps