Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaonya kupanda kwa bei za mafuta kufikia katikati ya Aprili

  • | Citizen TV
    1,807 views
    Duration: 2:30
    Kenya sasa inakabiliwa na hatari ya kupanda kwa bei za mafuta, huku mgogoro unaoendelea mashariki ya Kati ukianza kuathiri bei nchini. Serikali sasa ikionya kuwa kufikia katikati ya mwezi Aprili, bei za mafuta huenda zikapanda, ila waziri wa hazina kuu ya kitaifa amewahakikishia wakenya kuwa hakuna na kuhofia kwani wameweka mikakati kupunguza athari zake.