Serikali yashauriwa kuwawezesha vijana kumiliki ardhi ili waweze kujiajiri
Baadhi ya vijana wanaojihusisha na kilimo cha Kahawa nchini Tanzania wanasema bado wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ardhi ya kulima jambo linalowakwamisha kushiriki kikamilifu katika sekta ya kahawa
wameyasema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wan chi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kama anavyosema Peter Mzeya kijana Mkulima.
“Tungependa vijana wengi waingie kwenye uzalishaji wa kahawa, ingawa kuna changamoto kadhaa ambazo zinaweza kuwa juu ya uwezo wao. Serikali inapaswa kuziangalia, maana kabla hujaingia katika uzalishaji wa kahawa ni lazima umiliki ardhi. Hivyo, serikali iangalie ni jinsi gani vijana wanaweza kumiliki ardhi” amesema Mzeya
Mbali na changamoto ya ardhi vijana pia wanakabiliwa na vikwazo vya sera kanuni na mfumo wa fedha hali inayozuia ushiriki wao kikamilifu katika kuongeza thamani ya zao la kahawa.
Mkulima Mzeya alishiriki katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#mkulima #kijana #mjasiriamali #kilimo #kahawa #tanzania #voa #voaswahili #umilikiwaardhi #ajira #petermzeya
30 Apr 2025
- The motorists are forced to use an alternative route as they wait for the road to clear.
30 Apr 2025
- NSSF doubled its monthly contributions from a maximum of Ksh2,160 to Ksh4,320.
30 Apr 2025
- Tension and clashes claimed the lives of five Narok residents over on Monday.
30 Apr 2025
- Kenya’s revised foreign policy is designed to address the interests of citizens and reposition Kenya's foreign engagements on the dynamic global landscape, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
30 Apr 2025
- President William Ruto’s State Visit to China saw more than 20 trade agreements and memoranda of understanding signed, that aim at improving various sectors of the economy.
30 Apr 2025
- The Climate Reality Project, a climate-focused nonprofit founded by former U.S. Vice President Al Gore, is set to host an in-person training event in Nairobi in June.
30 Apr 2025
- President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
30 Apr 2025
- High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
30 Apr 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
30 Apr 2025
- The motorists are forced to use an alternative route as they wait for the road to clear.
30 Apr 2025
- Lawyers blast IPOA over slow investigations into extrajudicial killings
30 Apr 2025
- Court rules police must be in uniform and should not conceal their faces.
30 Apr 2025
- The Department of Health Services condemned the reckless disposal, warning that improper discarding of such waste could lead to outbreaks of deadly diseases such as Hepatitis B, Hepatitis C, and HIV/AIDS, as well as serious environmental contamination.