Skip to main content
Skip to main content

Serikali yawawezesha vijana kupitia mradi wa Nyota nchini

  • | Citizen TV
    1,414 views
    Duration: 2:53
    Serikali kupitia ushirikiano na benki ya dunia inaazimia kuwaimarisha kiuchumi maelfu ya vijana kote nchini kupitia mradi wa nyota. Vijana wanaolengwa zaidi ni wale waliohitimu masomo ya sekondari ila hawana ajira.