Skip to main content
Skip to main content

Serikali yazindua maktaba ya kwanza ya walemavu Machakos

  • | Citizen TV
    111 views
    Duration: 1:52
    Serikali imezindua awamu ya Kwanza ya mradi wa kihistoria wa maktaba katika Taasisi ya ufundi ya Wasioona ya Machakos (MTIB), ikiashiria hatua kuu kuelekea elimu-jumuishi kwa watu wenye ulemavu.