Skip to main content
Skip to main content

Serikali za kaunti zinatakiwa kudhibiti gharama ya ulipaji mishahara

  • | KBC Video
    26 views
    Duration: 2:33
    Serikali za kaunti zilielekeza asilimia 47 ya matumizi yao yote kwa mishahara ,gharama ya mishahara ikiongezeka hadi shilling billion 220.64 kutoka shilling billion 209.84 katika kipindi cha kifedha cha mwaka 2023/2024. Kaunti 39 zilitumia zaidi ya asilimia 35 mgao wao kwa mishahara na marupurupu ya wafanyakazi,kaunti nane pekee zikiafiki kanuni hii. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive