Skip to main content
Skip to main content

Shabiki.com yatoa ksh.500,000 za mshindi kijijini Bushiri

  • | Citizen TV
    237 views
    Duration: 5:31
    Shabiki.com imekita kambi kaunti ya Kakamega Katika Kijiji cha Bushiri, kusherehekea ushindi Wa wa shilingi nusu milioni wa mkazi wa eneo hilo Dominic Lumumba kwenye shindano la Rubani challenge katika jukwaa maarufu la shabiki.com.