Shambulizi la bomu lililovurumishwa na waasi wa M23 laua watoto 2 na mama mmoja #
Kanda ya video hii imepigwa katika Mji wa sake ambao mpaka sasa unashuhudia mashambulizi ya waasi wa M23. Kwa mujibu wa mwandishi wetu Austere Malivika ambaye alitembelea eneo hilo na kuwahoji wananchi kuhusu hali ya vita inayoendelea katika eneo hilo anaripoti Jumapili Watoto wa 2 na mama mmoja wameuwawa kwa bomu lililovurumishwa na waasi wa M23. Katika mahojiano na moja wa mkazi wa eneo hili la milimani anaeleza jinsi bomu lilivyoripuka baada ya kutua katika eneo lao kumjeruhi mtu moja. Wakati huo huo mapigano makali yanasikika yakiendelea kati ya majeshi la serikali ya DRC na waasi wa M23. Endelea kusikiliza...
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #milimayasake #austeremalivika
27 Apr 2024
- NHIF cardholders had raised concerns over facing challenges in accessing medical services.
27 Apr 2024
- The government has maintained that schools will reopen starting Monday next week.
27 Apr 2024
- NTSA has been undertaking a nationwide crackdown alongside the police.
27 Apr 2024
- Migori Senator Eddy Oketch has defended his perceived absence from the county saying the work of a legislator is domicile in Parliament.
27 Apr 2024
- Sebastian Ojiambo has lived on fishing for many years. Every time he prepared his fishing nets and pushed his boat into the water, Ojiambo was sure of getting enough fish, not only for his family to eat at home but also to sell some for money he used to…
27 Apr 2024
- Three more bodies have been retrieved from Kwa Muswii River in Makueni County where a lorry lost control while carrying locals and ballast on Friday.
27 Apr 2024
- Kiambaa Sub County Security Committee have arrested more than 30 youths who were found drinking alcohol in one of the notorious Paradiso Bars in Kihara town following a tip-off from the public.
27 Apr 2024
- Siaya Governor James Orengo is the latest leader to dismiss the proposal by the Ministry of Public Service to transfer all public service employees from permanent and pensionable terms to contracts as a shame and a very crazy idea that they will…
27 Apr 2024
- NHIF cardholders had raised concerns over facing challenges in accessing medical services.
27 Apr 2024
- Kiharu MP says rise puts Kenya at position 28 globally among fastest-growing economies
27 Apr 2024
- Francis Atwoli says those behind the parallel Labour Day celebrations are opportunists trying to capitalise on Cotu's achievements.
27 Apr 2024
- In private hospitals, they are encountering significant financial challenges as the cost of treatment is cost
27 Apr 2024
- The government has maintained that schools will reopen starting Monday next week.