Skip to main content
Skip to main content

Shamra Shamar za Kombe la Dunia zipo wapi?

  • | BBC Swahili
    3,055 views
    Duration: 1:08
    Mashindano makubwa zaidi ya michezo duniani, Kombe la Dunia la FIFA, yanaanza leo. Mwandishi wa BBC, Celestine Karoney, yuko nchini Marekani ambapo alitembelea jiji la Atlanta, moja ya miji mwenyeji wa mashindano hayo, kujionea hali ilivyo na kuona jinsi mashabiki wanavyojiandaa kwa tukio hilo kubwa. #bbcswahili #atlanta #kombeladunia2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw