23 Feb 2026 7:27 pm | Citizen TV 11,712 views Duration: 1:59 Polisi katika eneo la Othaya kaunti ya Nyeri wamepewa idhini ya kumzuia kwa siku 10 zaidi Sheikh Eid Ali, kwa madai ya kuwalawiti Watoto 12, kati ya mwaka wa 2022 na 2025, walipokuwa wakihudhuria mafunzo ya kidini